Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Wakolosai 2:6-7

Wakolosai 2:6-7 NEN

Hivyo basi, kama vile mlivyompokea Kristo Yesu kuwa Bwana, endeleeni kukaa ndani yake, mkiwa na mizizi, na mmejengwa ndani yake, mkiimarishwa katika imani kama mlivyofundishwa, na kufurika kwa wingi wa shukrani.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Wakolosai 2:6-7