Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhubiri 7:2

Mhubiri 7:2 NEN

Afadhali kwenda kwenye nyumba ya msiba kuliko kwenda kwenye nyumba ya karamu, kwa kuwa kifo ni hatima ya kila mwanadamu, imewapasa walio hai kuliweka hili mioyoni mwao.