Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kutoka 32:5-6

Kutoka 32:5-6 NEN

Aroni alipoona hili, akajenga madhabahu mbele ya yule ndama na kutangaza, “Kesho kutakuwa na sikukuu kwa BWANA.” Kwa hiyo siku iliyofuata watu wakaamka asubuhi na mapema na kutoa sadaka za kuteketeza na sadaka za amani. Baadaye watu wakaketi kula na kunywa, nao wakasimama, wakajizamisha katika sherehe.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Kutoka 32:5-6