Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kutoka 32:7-8

Kutoka 32:7-8 NEN

Kisha BWANA akamwambia Mose, “Shuka, kwa sababu watu wako, uliowatoa Misri, wamepotoka. Wamekuwa wepesi kugeuka na kuacha niliyowaamuru, na wamejitengenezea sanamu ya kuyeyusha yenye umbo la ndama. Wameisujudia na kuitolea dhabihu, nao wamesema, ‘Hii ndiyo miungu yenu, ee Israeli iliyokupandisha kutoka Misri.’ ”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Kutoka 32:7-8