Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ezekieli 37:7-8

Ezekieli 37:7-8 NEN

Basi nikatabiri kama nilivyoamriwa. Wakati nilipokuwa ninatabiri, kukawa na sauti, sauti ya kugongana, nayo mifupa ikasogeleana, mfupa kwa mfupa mwenziwe. Nikatazama, mishipa na nyama vikatokea juu ya mifupa na ngozi ikaifunika, lakini hapakuwepo pumzi ndani yake.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ezekieli 37:7-8