Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 42:21

Mwanzo 42:21 NEN

Wakaambiana wao kwa wao, “Hakika tunaadhibiwa kwa sababu ya ndugu yetu. Tuliona jinsi alivyohuzunika alipokuwa anatusihi kuponya maisha yake, lakini hatukumsikiliza, hiyo ndiyo sababu dhiki hii imetupata.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mwanzo 42:21