Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waebrania 13:20-21

Waebrania 13:20-21 NEN

Basi Mungu wa amani, ambaye kwa damu ya Agano la milele alimleta tena kutoka kwa wafu Bwana wetu Yesu, yule Mchungaji Mkuu wa kondoo, awafanye ninyi wakamilifu mkiwa mmekamilishwa katika kila jambo jema ili mpate kutenda mapenzi yake, naye atende ndani yetu kile kinachompendeza machoni Pake, kwa njia ya Yesu Kristo, ambaye utukufu una yeye milele na milele. Amen.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Waebrania 13:20-21