Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 23:5-6

Yeremia 23:5-6 NEN

BWANA asema, “Siku zinakuja, nitakapomwinulia Daudi Tawi lenye haki, Mfalme atakayetawala kwa hekima, na kutenda lililo haki na sawa katika nchi. Katika siku zake, Yuda ataokolewa na Israeli ataishi salama. Hili ndilo jina atakaloitwa: BWANA Haki Yetu.