Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yohana 6:11-12

Yohana 6:11-12 NEN

Ndipo Yesu akachukua ile mikate, akamshukuru Mungu na kuwagawia wale watu waliokuwa wameketi. Akafanya vivyo hivyo na wale samaki. Kila mtu akapata kadiri alivyotaka. Watu wote walipokwisha kula na kushiba, akawaambia wanafunzi wake, “Kusanyeni vipande vilivyobaki vya ile mikate, kisipotee chochote.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yohana 6:11-12