Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yoeli 1:13

Yoeli 1:13 NEN

Vaeni nguo ya gunia, enyi makuhani, muomboleze; pigeni yowe, enyi mnaohudumu madhabahuni. Njooni, vaeni nguo ya gunia usiku kucha, enyi mnaohudumu mbele za Mungu wangu; kwa kuwa sadaka za nafaka na sadaka za kinywaji zimezuiliwa kufika katika nyumba ya Mungu wenu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yoeli 1:13