Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 15:20

Luka 15:20 NEN

Basi akaondoka, akaenda kwa baba yake. “Lakini alipokuwa bado yuko mbali, baba yake akamwona, moyo wake ukajawa na huruma. Akamkimbilia mwanawe, akamkumbatia na kumbusu.