Luka 15:20
Luka 15:20 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Akaondoka, akaenda kwa babaye. Alipokuwa angali mbali, baba yake alimwona, akamwonea huruma, akaenda mbio akamwangukia shingoni, akambusu sana.
Shirikisha
Soma Luka 15Luka 15:20 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi, akaanza safari ya kurudi kwa baba yake. Alipokuwa bado yu mbali, baba yake alimwona, na kwa moyo wa huruma alimkimbilia, akamkumbatia na kumbusu.
Shirikisha
Soma Luka 15