Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 23:25

Mathayo 23:25 NEN

“Ole wenu, walimu wa sheria na Mafarisayo, ninyi wanafiki! Kwa maana mnasafisha kikombe na sahani kwa nje, lakini ndani mmejaa unyangʼanyi na kutokuwa na kiasi.