Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 27:51-52

Mathayo 27:51-52 NEN

Wakati huo huo pazia la Hekalu likachanika vipande viwili, kuanzia juu hadi chini. Dunia ikatetemeka na miamba ikapasuka. Makaburi yakafunguka na miili ya watakatifu waliokuwa wamekufa ikafufuliwa.