Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Marko 2:4

Marko 2:4 NEN

Kwa kuwa walikuwa hawawezi kumfikisha kwa Yesu kwa ajili ya umati wa watu, walitoboa tundu kwenye paa mahali pale alipokuwa Yesu, wakamshusha yule aliyepooza kwa kitanda alichokuwa amelalia.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Marko 2:4