Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Marko 2:4

Marko 2:4 BHN

Kwa sababu ya huo umati wa watu, hawakuweza kumpeleka karibu na Yesu. Basi, wakatoboa sehemu ya paa iliyokuwa juu ya mahali alipokuwa Yesu. Walipokwisha pata nafasi, wakamteremsha huyo mtu akiwa amelala juu ya mkeka.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Marko 2:4