Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Hesabu 20:12

Hesabu 20:12 NEN

Lakini BWANA akamwambia Mose na Aroni, “Kwa sababu hamkuniamini mimi kiasi cha kuniheshimu kama mtakatifu machoni pa Waisraeli, hamtaiingiza jumuiya hii katika nchi ninayowapa.”