Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 55:23

Zaburi 55:23 NEN

Lakini wewe, Ee Mungu, utawashusha waovu katika shimo la uharibifu. Wenye kiu ya kumwaga damu na wenye hila, hawataishi nusu ya siku zao. Lakini mimi ninakutumaini wewe.