Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 58:1-2

Zaburi 58:1-2 NEN

Enyi watawala, je, kweli mwanena kwa haki? Je, mnahukumu kwa unyofu miongoni mwa watu? La, mioyoni mwenu mnatunga udhalimu, na mikono yenu hupima jeuri duniani.