Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ufunuo 11:4-5

Ufunuo 11:4-5 NEN

Hawa ndio ile mizeituni miwili na vile vinara viwili vya taa visimamavyo mbele za Bwana Mungu wa dunia yote. Kama mtu yeyote akitaka kuwadhuru, moto hutoka vinywani mwao na kuwateketeza adui zao. Hivi ndivyo impasavyo kufa mtu yeyote atakayetaka kuwadhuru.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ufunuo 11:4-5