Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ufunuo 3:17

Ufunuo 3:17 NEN

Kwa maana unasema: ‘Mimi ni tajiri, nimejilimbikizia mali, wala sihitaji kitu chochote.’ Lakini hutambui ya kwamba wewe ni mnyonge, wa kuhurumiwa, maskini, kipofu, tena uliye uchi.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Ufunuo 3:17