Nembo ya Programu ya Biblia
Ikoni ya Utafutaji

2 Pet 2:18-19

2 Pet 2:18-19 SUV

Maana wakinena maneno makuu mno ya kiburi, kwa tamaa za mwili na kwa ufisadi huwahadaa watu walioanza kuwakimbia wale wanaoenenda katika udanganyifu; wakiwaahidia uhuru, nao wenyewe ni watumwa wa uharibifu, maana mtu akishindwa na mtu huwa mtumwa wa mtu yule.

Soma 2 Pet 2