Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwa 42:7

Mwa 42:7 SUV

Yusufu akawaona nduguze, akawatambua, lakini alijifanya kama mgeni kwao. Akasema nao kwa maneno makali, akawaambia, Mmetoka wapi ninyi? Wakasema. Tumetoka nchi ya Kanaani, ili tununue chakula.

Soma Mwa 42

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mwa 42:7