Kama nilivyokuwa katika siku zangu za kukomaa, Hapo siri ya Mungu ilipokuwa hemani mwangu;
Soma Ayu 29
Shirikisha
Linganisha Matoleo Yote: Ayu 29:4
Siku 31
Soma Biblia Kila Siku 05/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Ayubu, Zaburi na 1 Yohana. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!