Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mt 28:12-15

Mt 28:12-15 SUV

Wakakusanyika pamoja na wazee, wakafanya shauri, wakawapa askari fedha nyingi, wakisema, Semeni, ya kwamba wanafunzi wake walikuja usiku, wakamwiba, sisi tulipokuwa tumelala. Na neno hili likisikilikana kwa liwali, sisi tutasema naye, nanyi tutawaondolea wasiwasi. Basi wakazitwaa zile fedha, wakafanya kama walivyofundishwa. Na neno hilo likaenea kati ya Wayahudi hata leo.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mt 28:12-15