Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 28:12-15

Mathayo 28:12-15 SRUV

Wakakusanyika pamoja na wazee, wakafanya shauri, wakawapa askari fedha nyingi, wakisema, Semeni, ya kwamba wanafunzi wake walikuja usiku, wakamwiba, sisi tulipokuwa tumelala. Na jambo hili likisikika kwa mtawala, sisi tutasema naye, nanyi hamtapata shida. Basi wakazitwaa zile fedha, wakafanya kama walivyofundishwa. Na neno hilo likaenea kati ya Wayahudi hata leo.

Soma Mathayo 28

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 28:12-15