Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Mambo ya Nyakati 33:12-13

2 Mambo ya Nyakati 33:12-13 SRUV

Hata alipokuwa katika taabu, akamsihi BWANA, Mungu wake, akajinyenyekeza sana mbele za Mungu wa baba zake. Akamwomba; naye akamtakabali, akayasikia maombi yake; akamrudisha tena Yerusalemu katika ufalme wake. Ndipo Manase akajua ya kwamba BWANA ndiye Mungu.