Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Mambo ya Nyakati 33:12-13

2 Mambo ya Nyakati 33:12-13 BHN

Wakati alipokuwa taabuni, alimwomba Mwenyezi-Mungu, Mungu wake, akajinyenyekesha sana mbele ya Mungu wa babu zake. Alimsihi, naye Mungu akapokea ombi lake na sala yake akamrudisha Yerusalemu katika ufalme wake. Ndipo Manase akatambua kuwa Mwenyezi-Mungu ndiye Mungu.