Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Wakorintho 4:16-18

2 Wakorintho 4:16-18 SRUV

Kwa hiyo hatulegei; bali ijapokuwa utu wetu wa nje unachakaa, lakini utu wetu wa ndani unafanywa upya siku kwa siku. Maana dhiki yetu nyepesi, iliyo ya muda mfupi tu, yatuandalia utukufu wa milele uzidio kuwa mwingi sana; tusiviangalie vinavyoonekana, bali visivyoonekana. Kwa maana vinavyoonekana ni vya muda tu; bali visivyoonekana ni vya milele.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 2 Wakorintho 4:16-18