Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Timotheo 1:12

2 Timotheo 1:12 SRUV

Kwa sababu hiyo nimepatikana na mateso haya, lakini sitahayari; kwa maana namjua yeye niliyemwamini, na kusadiki ya kwamba aweza kukilinda kile nilichokiweka amana kwake hata siku ile.