Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Wakolosai 1:9-10

Wakolosai 1:9-10 SRUV

Kwa sababu hiyo sisi nasi, tangu siku ile tuliposikia, hatuachi kufanya maombi na dua kwa ajili yenu, ili mjazwe maarifa ya mapenzi yake katika hekima yote na ufahamu wa rohoni; mwenende kama ulivyo wajibu wenu kwa Bwana, mkimpendeza kabisa; mkizaa matunda kwa kila kazi njema, na kuzidi katika maarifa ya Mungu

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Wakolosai 1:9-10