Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 42:7

Mwanzo 42:7 SRUV

Yusufu akawaona nduguze, akawatambua, lakini alijifanya kama mgeni kwao. Akasema nao kwa maneno makali, akawaambia, Mmetoka wapi ninyi? Wakasema. Tumetoka nchi ya Kanaani, ili tununue chakula.

Soma Mwanzo 42

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mwanzo 42:7