Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 20:11

Yeremia 20:11 SRUV

Lakini BWANA yuko pamoja nami, mfano wa shujaa mwenye kutisha; kwa hiyo hao wanaonionea watajikwaa, wala hawatashinda; watatahayarika sana. Kwa sababu hawatafaulu wataona aibu ya milele, ambayo haitasahauliwa kamwe.

Soma Yeremia 20