Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 39:17-18

Yeremia 39:17-18 SRUV

Lakini nitakuokoa wewe katika siku hiyo, asema BWANA; wala hutatiwa katika mikono ya watu wale unaowaogopa. Kwa maana ni yakini, nitakuokoa, wala hutaanguka kwa upanga, lakini nafsi yako itakuwa kama nyara kwako; kwa kuwa ulinitumaini mimi, asema BWANA.

Soma Yeremia 39