Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yohana 11:25-26

Yohana 11:25-26 SRUV

Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, hata akifa, atakuwa anaishi; naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je! Unayasadiki hayo?

Soma Yohana 11

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yohana 11:25-26