Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ayubu 11:13-15

Ayubu 11:13-15 SRUV

Wewe ukiuweka moyo wako kwa uelekevu, Na kumnyoshea mikono yako; Ikiwa una uovu mkononi mwako, uweke mbali nawe, Wala usikubali upuzi kukaa hemani mwako; Hakika ndipo utakapopata kuinua uso pasipo ila; Naam, utathibitika, wala hutakuwa na hofu

Soma Ayubu 11