Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 2:8-9

Luka 2:8-9 SRUV

Na katika nchi ile ile walikuwako wachungaji wakikaa makondeni na kulinda kundi lao kwa zamu usiku. Malaika wa Bwana akawatokea ghafla, utukufu wa Bwana ukawang'aria pande zote, wakaingiwa na hofu kuu.

Soma Luka 2