Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 5:12-13

Luka 5:12-13 SRUV

Ikawa, alipokuwa katika mmojawapo wa miji ile, tazama, palikuwa na mtu amejaa ukoma; naye alipomwona Yesu alianguka kifudifudi, akamwomba akisema, Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa. Naye akaunyosha mkono wake, akamgusa akisema, Nataka; takasika. Na mara ukoma wake ukamwondoka.

Soma Luka 5

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Luka 5:12-13