Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 13:20-21

Mathayo 13:20-21 SRUV

Naye aliyepandwa penye miamba, huyo ndiye alisikiaye lile neno, akalipokea mara kwa furaha; lakini hana mizizi ndani yake, bali hudumu kwa muda; ikitukia dhiki au udhia kwa ajili ya lile neno, mara huchukizwa.

Soma Mathayo 13

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 13:20-21