Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 14:34-36

Mathayo 14:34-36 SRUV

Na walipokwisha kuvuka, walifika nchi ya Genesareti. Na watu wa mahali pale walipomtambua, walituma watu kwenda nchi zile zilizo kandokando, wakamletea wote waliokuwa wagonjwa; nao wakamsihi waguse hata pindo la vazi lake tu; na wote waliogusa wakaponywa kabisa.

Soma Mathayo 14