Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 28:5-6

Mathayo 28:5-6 SRUV

Malaika akajibu, akawaambia wale wanawake, Msiogope ninyi; kwa maana najua ya kuwa mnamtafuta Yesu aliyesulubiwa. Hayupo hapa; maana amefufuka kama alivyosema. Njooni, mpatazame mahali alipolazwa.

Soma Mathayo 28

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 28:5-6