Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 5:15-16

Mathayo 5:15-16 SRUV

Wala watu hawawashi taa na kuiweka chini ya pishi, bali juu ya kiango; nayo yawaangaza wote waliomo nyumbani. Vivyo hivyo nuru yenu na iangaze mbele ya watu, wapate kuyaona matendo yenu mema, wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni.

Soma Mathayo 5