Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 6:16-18

Mathayo 6:16-18 SRUV

Tena mfungapo, msiwe kama wanafiki wenye uso wa kukunjamana; maana hujiumbua nyuso zao, ili waonekane na watu kuwa wanafunga. Amin, nawaambia, wamekwisha kupata thawabu yao. Bali wewe ufungapo, jipake mafuta kichwani, unawe uso; ili usionekane na watu kuwa unafunga, ila na Baba yako aliye sirini; na Baba yako aonaye sirini atakujazi.

Soma Mathayo 6

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 6:16-18