Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 8:1-3

Mathayo 8:1-3 SRUV

Naye aliposhuka mlimani, makutano mengi walimfuata. Na tazama, akaja mtu mwenye ukoma akamsujudia, akisema, Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa. Yesu akanyosha mkono, akamgusa, akisema Nataka; takasika. Na mara ukoma wake ukatakasika.

Soma Mathayo 8