Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Nehemia 8:10

Nehemia 8:10 SRUV

Kisha akawaambia, Nendeni zenu, mle kilichonona, na kunywa kilicho kitamu, tena mpelekeeni sehemu yeye asiyekuwa na kitu; maana siku hii ni takatifu kwa BWANA wetu; wala msihuzunike; kwa kuwa furaha ya BWANA ni nguvu zenu.

Soma Nehemia 8