Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zekaria 13:9

Zekaria 13:9 SRUV

Nami nitalileta fungu lile la tatu na kulipitisha kati ya moto, nami nitawasafisha kama fedha isafishwavyo, nami nitawajaribu kama dhahabu ijaribiwavyo; wataliitia jina langu, nami nitawasikia; mimi nitasema, Watu hawa ndio wangu; nao watasema, BWANA ndiye Mungu wangu.

Soma Zekaria 13

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zekaria 13:9