Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 10:34-35

Matendo 10:34-35 TKU

Petro akaanza kwa kusema: “Hakika sasa ninaelewa ni kwa nini Mungu hawachukulii kundi fulani la watu kuwa bora kuliko wengine. Anamkubali yeyote anayemwabudu na anayetenda haki. Haijalishi wanatoka katika taifa lipi.

Soma Matendo 10