Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mwanzo 26:22

Mwanzo 26:22 SCLDC10

Kisha Isaka akaenda mahali pengine na kuchimba kisima kingine. Lakini hicho hawakukigombania; hivyo Isaka akakiita Rehobothi akisema, “Sasa Mwenyezi-Mungu ametuachia nafasi, nasi tutastawi katika nchi hii.”

Soma Mwanzo 26

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mwanzo 26:22