Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Rom 1:22-23

Rom 1:22-23 SCLDC10

Wanajidai kuwa wenye hekima, kumbe ni wapumbavu. Wanaacha kumwabudu Mungu aishiye milele, na badala yake, wanaabudu sanamu zilizo mfano wa binadamu ambaye hufa, mfano wa wanyama, ndege, au wanyama watambaao.

Soma Rom 1