Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mattayo MT. 12:36-37

Mattayo MT. 12:36-37 SWZZB1921

Bassi, nawaambieni, Killa neno lisilo maana, watakalolisema wana Adamu, watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu. Maana kwa maneno yako utapewa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.

Video ya Mattayo MT. 12:36-37